Tag: maana ya maneno ya Kiswahili
- Maana ya neno aminifu na English translation- Maana ya neno aminifu Matamshi: /aminifu/ (Kivumishi) Maana: sifa ya mtu asiyesema uwongo au kudanganya;… 
- Maana ya neno amini na English translation- Maana ya neno amini Matamshi: /amini/ Amini 1 (Kitenzi elekezi) Maana: 1. sadiki au kubalia… 
- Maana ya neno amin! na English translation- Maana ya neno amin! Matamshi: /amin/ (Kihisishi) Maana: pia amina! Kiitikio cha kuitika maombi au… 
- Maana ya neno amilisha na English translation- Maana ya neno amilisha Matamshi: /amilisha/ (Kitenzi si elekezi) Maana: hatua inayotoa kibali cha kuanza… 
- Maana ya neno amili na English translation- Maana ya neno amili Matamshi: /amili/ Amili 1 (Kitenzi elekezi) Maana: jua, fahamu, maizi, tambua,… 
- Maana ya neno amikto na English translation- Maana ya neno amikto Matamshi :/amiktɔ/ (Nomino katika ngeli ya [i-zi]) Maana: kitambaa cheupe cha… 
- Maana ya neno amidi na English translation- Maana ya neno amidi Matamshi: /amidi/ (Kitenzi elekezi) Maana: 1. fikia maamuzi au kata shauri.… 
- Maana ya neno amiba na English translation- Maana ya neno amiba Matamshi/amiba/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: vidudu vidogo vilivyo hai… 
- Maana ya neno amia na English translation- Maana ya neno amia Matamshi: /amia/ (Kitenzi elekezi) Maana: linda au kinga shamba la nafaka… 
- Maana ya neno ami na English translation- Maana ya neno ami Matamshi: /ami/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: pia amu, ndugu…